a.alakum mm nimeota wamekuja alendo ambiri anafuraha sana ndi niwageni akazi ambiri ndi awatu otchuka wamekuja kuniposa ndi qamenipa zawadi ya pesa ila mwanamme ambae ameniposa ni mtu ambae aliniahid ndowa ila hajaniowa na mimi niliamuwa kukaa nae mbali kwa sababu sitaki zinaaa na mwanamme ameneyu ku ndoto. aliongea maneno hayo na ndugu yangu wakiume ambae ni walii wangu na alimtamkia mimi nakuja kumuoa dada ako siku ya ijumapili je ndoto hii.